Kiandaandi

Kiandaandi au Kidongola ni lugha ya Kinilo-Sahara nchini Sudan inayozungumzwa na Wadongola. Mwaka wa 1996 idadi ya wasemaji wa Kiandaandi imehesabiwa kuwa watu 180,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiandaandi iko katika kundi la Sudaniki-Mashariki.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search